JK asamehe wafungwa, mafataki, mafisadi awabakisha gerezani
RAIS Jakaya Kikwete jana alitoa msamaha kwa wafungwa wapatao 3563, waliotumika kifungo kwa muda mrefu gerezani na kuwaacha wale wabakaji na waliowaharibia wanafunzi masomo yao maarufu kama [mafataki]
No comments:
Post a Comment