Jitokezeni kupima afya ya moyo bure

Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa Klabu ya Lions, Bw. Frank Goyayi, ambapo alifafanua kambi hiyo itaanza siku ya Ijumaa itafanyika katika hospitali ya Regency Upanga jijini Dar es Salaam.

Goyayi alisema kuwa, katika uchinguzi huo daktari bingwa wa maradhi ya moyo, Ashutosh Marwah, kutoka taasisi ya moyo ya Fortis Escorts, India atakayeendesha shughuli hiyo.

Alifafanua kuwa watoto watakaogundulika wana matatizo hayo watagawanywa ambapo 50 watatoka Bara nakutoka bara na 50 kutoka visiwani Zanzibar ambao watapelekwa India kwa matibabu.

Hivyo wakazi wajiji wametakwia kujitokeza kupima afya hiyo na watakaogundulika kupelekwa kwa matibabu India.

Taasisi hiyo imekwua ikijitahidi wka hali na mali kusaidia wnanchi wa vipato vya chini kuwasidia kuwatibu maradhi hayo

No comments:

Post a Comment