Yule mwanamuziki mkongwe hapa nchini aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Bendi ya Muziki wa Dansi ya Msondo Ngoma, Muhidini Maalim Gurumo hatimaye amepata ahueni na anatarajiwa kuruhusiwa kurudi nyumbani muda wowote kuanzia sasa.
No comments:
Post a Comment