Mfanyabiashara huyo ambaye aligoma kutaja jina lake, alinaswa akiwa na denti wa miaka 10, wakiingia Gesti ya Green, Sinza, Dar es Salaam.
Habari zinasema kuwa mhudumu wa gesti hiyo (jina tunaliminya) alikuwa wa kwanza kumtilia shaka mfanyabiashara huyo kabla ya wananchi wenye hasira kuingilia kati na kumpa kipigo chenye uzani mkubwa.
Siku hiyo, majira ya saa nane alasiri, denti huyo (jina lake na la shule kapuni), akiwa na sare za Shule eneo la Legho, Sinza, alisimamishwa na mfanyabiashara huyo aliyekuwa ndani ya taksi.
No comments:
Post a Comment