Efrancyia Mangii mshiriki wa Kinyang’anyiro cha Maisha Plus Season I 2007/08,
Baada ya kudaiwa kukwapua simu ya jamaa aliyetajwa kwa jina la Brockway Mchana ‘Karume’, mshiriki wa Kinyang’anyiro cha Maisha Plus Season I 2007/08, Efrancyia Mangii ametoboa kuwa, mapenzi ndiyo yaliyombebesha skendo hiyo nzito ya wizi.
No comments:
Post a Comment